🍀UGONJWA WA GOITA🍀



Na _Dr Peter_

Huu ni ugonjwa wa tezi ya THAIROID ambao hutokea shingoni

          🌱CHANZO🌱
👉Upungufu wa madini joto mwilini

👉Lishe duni 

👉Kula vyakula vilivyoondolewa uhalisia wake na ambacho hakikupikwa

👉Ulaji kupita kiasi wa vyakula vilivyopitia viwandani na kuondolewa ladha asilia 

👉Ukosefu wa madini joto katika chakula 

🌴NAMNA YA KUJIKINGA🌴
⚡Tumia chumvi yenye iodine (ayodini) hasa ya baharini 

⚡Kula lishe bora

⚡Epuka kula vyakula vilivyopitia viwandani ambavyo si lazima 

⚡Tumia vyakula vyenye iodine kama dagaa, maziwa....
   
🎋VITU VYA KUEPUKA KWA MGONJWA WA GOITA🎋
Chai , kahawa, unga ulokobolewa, sukari nyeupe, ngano nyeupe na vyakula vyenye mafuta.

         🌲MATIBABU🌲
💥Kwanza kabisa safisha mfumo wote wa damu.

💥Badili mlo wako na ule mlo wenye virutubisho kamili

💥Tumia mboga za majani zilizochemshwa ama kupikwa bila kuiva sana 
      Mfano wa mboga ni saladi na ambazo hazijapikwa ni nyanya, kabichi,  karoti. ......

💥Matunda ya kula ni zabibu,  nanasi,  tufah(apple ) na machungwa ..
   Kula tunda moja baada ya lingine kwa kupishanisha masaa mawili na nusu kutoka tunda hadi tunda. 
   Fanya hivyo kwa siku nne hadi sabaa .

KWA TIBA KAMILI YA TATIZO HILO WASILIANA NASI EDEN HERBAL & HEALTHCARE
Kwa ushauri na tiba za magonjwa mbalimbali wasiliana nasi 
+255 784 467 374
+255 755 638 056
Mwanza-Tanzania

Comments

Popular posts from this blog

⚡FAIDA YA MBEGU ZA MABOGA⚡

🌳 JE, NINI HUMFANYA MTU KUWA NA HAMU YA KULA UDONGO? 🌳

ZIJUE FAIDA,MADHARA YA KITUNGUU SWAUMU KATIKA MWILI WA BINADAMU